Monday, November 12, 2012

HISTORIA YA KILWA KISIWANI IMEIWAKA KISIWA HICHO KATIKA HISTIRIA YA URITHI WA DUNIA AMBAPO WATALII WANAKWENDA KUJIONEA MAAJABU YA MAJENGO YA MISIKITI INATUPASA NA SISI KWENDA KUONA MAAJABU HAYO

 Mnara wa Kilwa kivinje katika mji wa Kilwa kivinje mji ambao wenye historia ya waarabu na ustaarabu wa kiarabu wenye utawala wa Kisultani.
 Hilo ni jengo ambalo lipo pwani ya Halmashauri ya Lindi ambalo lilijengwa enzi ya utawala wa Kisultani
 Mwandishi wa habari na Mhariri Msaidizi wa Magazeti Vijijini Kanda ya Kusini Bw.Juma Nyumayo akisoma kibao kinacho elezea urithi wa Dunia kilichowekwa na UNESCO.kilicho katika kivuko cha kuvushia wakazi wa Kilwa kisiwani  Katika Mji wa Kilwa Masoko.
Asubuhi Bw.Juma Nyumayo akiwa katika mji wa Kilwa Masoko baada ya kumaliza kazi ,akionekana akielekea Lindi Mjini kuelendelea na kazi.

No comments:

Post a Comment