Friday, November 2, 2012

MVUA ZILIZOANZA KUNYESHA KATIKA MANISPAA YA SONGEA KUANZIA JANA ZIMEKUWA MKOMBOZI KWA WAKAZI WA MANISPAA HIYO WALIYOKUWA WAKIHAHA KUTAFUTA MAJI YA KUNYWA NA KUPIKIA KUTOKANA NA UHABA ULIYOJITOKEZA KWA MUDA MREFU

 Leo mji wa Songea ulipata neema ya mvua ,ikiashiria kuwa tatizo la maji katibu litatuliwa.
Wakati mvua ikinyesha watu wenye vyombo vya usafiri walikuwa kwenye vyombo vyao vya usafili wkienda kununu mafuta ili wendelee na shughuli zao za kilasiku.

No comments:

Post a Comment