Sunday, November 18, 2012

BREAKING NEWS WANANCHI WA JIJI LA NAIROBI WAFANYA MAANDAMANO YA AMANI YA MAUAJI YA ASKARI WALIYO ULIWA KUASHIRIA USALAMA WA RAIA HAUPO SALAMA NCHINI KENYA

NCHINI Kenya kumekumbwa na mauaji ya ugaidi ambapo maaskari 35 wamauawa kutokana na ugaidi uanao endelea  hivi sasa,ambapo bomu lililotegwa kwenye daladala limelipuka na kua abiria  5  Isilii Jijini Nairobi   na majerui 18 walipelekwa hospitali kwa matibabu.

No comments:

Post a Comment