Tuesday, November 27, 2012

FAST JET AIR LINE YAZINDUA USAFIRI WA NDEGE YAKE KWA BEI POA

 Baadhi ya abiria ambao walikuwa katika uziduzi wa ndege ya Fast Jet Air line wakiwa ndani ya ndege hiho,wanasema ndege zote ni sawa,lia ndege hiyo nauli yake ni nafuu sana inayo mwezesha Matanzania yeyote kuweza kusafiri nayo.
 Baada ya kuzunguka hadi Zanzibar ,Fast Jet ilitua tena kati uwanja wa Mwalimu Nyerere,abilia waliyo kuwemo katika ndwgw hiyo alikuwa wakishuka.
Mwandishi wa habari wa TBC akimhoji mfanyakazi wa kampuni ya ndege hiyo.Mwenye koti leusi,ambapo alisema nauli za ndege hiyo yenye uwezo wa kuchukua abiria 200 itakuwa nafuu na wala siyo nguvu ya soda.amesema mtu anakwenda Mwanza kwa Tshs 40,000/=.
Alisema ndege hiyo itafanya safari zake za Mwanza na Arusha,kuna ndege nyingine zinategemewa kuletwa na kampuni hiyo.na kwamba mtu yeyeto ataweza kumudu nauli za ndege za kampuni hiyo.
Amesema maduka kadhaa yamefunguliwa ya kukatia tiketi,uwanja wa ndege,Double three na maeneo mengine Jijini Dar es Salaam..Aidha alisema kwa siku ya kwanza zaidi ya abiria 100 walikata tiketi zao kwamba hiyo ni dalili na mwanzo mzuri wa kampuni hiyo.

No comments:

Post a Comment