Friday, November 16, 2012

WATUMISHI WATATU WA KITUO CHA MAGAZETI VIJIJINI KANDA YA KUSINI SONGEA WAAGWA LEO KATIKA HOTELI YA NIPASHE MJINI SONGEA RUVUMA



 Hiyo ndiyo meza kuu waliyo kaa wastaafu na wenzi wao wa katika mwenye tai na mkewe nia Bw.Siprian Tawete mstaafu mwaka 206,anayefuata kulia kwake mwenye kitambaa cheupe Bibi Feblonia Banda aliyestaafu mwaka 2010 na Mmewe Mr.Banda na wa tatu ni kwenye suti nyeusi amezibwa na ua Bw.Joramu Mwaipopo kushoto kwake ni Mkewe Mrs Mwaipopo.
 Bwana na Bibi Tawete
 Bibi na Bwana Banda
 Bwana na Bibi Mwaipopo
 Mfanya kazi aliyebakia kituoni Bw.John Mponda mlinzi na Mkewe.
 Bwana Charles Lukoto Mpiga chapa
 Wageni waalikwa wa kwanza Mke wa Mhariri msaidizi Bw. Juma Nyumayo ( Mrs Nyumayo)
 Mke wa aliyekuwa Mkuu wa kituo hicho (Marehemu Enos Mwabina) Mrs Mwabina

 Mrs Nyumayo
 Mhariri wa kituo hicho Bw.Christian Sikapundwa
Baadhi ya wasaidizi wa kituo katika kuelemewa na kazi Bw. Yusufu Kufakunoga chumba cha giza ( dark room ).


Kituo cha uchapaji Magazeti Vijijini ,Kanda ya Kusini leo kimewaaga wafanya kazi watatu waliyostaafu kwa miaka tofauti.

KITUO cha magazeti vijijini Kanda ya Kusini Songea ,kimewaaga wafayakazi watatu waliyostaafu kwa mujibu wa utumishi baada ya kufikisha miaka 60 wa umri kwa kuwafanyia tafrija fupi katika Hoteli ya Nipashe maeneo ya Mabatini katika Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma.

Watumishi waliyo staafu kulingana na kupishana kwao ni pamoja na Bwana Siprian Tawete aliyekuwa Mlinzi mwaka 2005,Feblonia Banda Mtunza ofisi mwaka 2010 na watau ni Bwana Joramu Mwaipopo mlinzi aliyestaafu mwezi Juni 2012.

Tafrija hiyo imejumuisha wataafu na wenzi wao ,ambao wote wemepatiwa zawadi wao na wenzi wao,kama motisha katika utumishi wao walipokuwa kituoni hapo.

Kituo kimewatakia maisha mapya ya kujitegemea baada ya ukomo wa utumishi wao kituoni,na kwamba wao pia wamewatakia wafanya kazi waliyokuwemo katika ajira amani na mshikamano kazini.

Baada ya kustaafu watumishi hao Kituo kimebakiwa na watumishi sita tu kitu ambacho kitafanya kituo kizidiwe na majukumu katika utndaji kazi wao.

No comments:

Post a Comment