Sunday, November 18, 2012

BREAKING NEWS !! ( USAJILI WA WAPIGA KURA NCHINI KENYA UNAANZA KESHO.

USAJILI wa wapiga kura nchini Kenya unaanza kesho tarehe 19 /11/2012 hadi  tarehe 18 /12/2012 kwa wananchi wenye umri wa miaka 18 katika vituo 25 ambapo vituo vitafunguliwa kuanzia saa 2.00 asubuhi hadi saa 11 jioni ( chanzo cha habari ni Mchapuko wa Habari K 24 )

No comments:

Post a Comment