Friday, November 2, 2012

PIKIPIKI NA MAGARI YAWEKA FOLENI YA MAFUTA YA PETROL ,KITUONI KUNA DISELI KISUMAPAI JANA MANISPAA YA SONGEA

 Ni kituo cha kuuza mafuta KISUMAPAI FILLING STATION katika manispaa ya Songea jana kilikua kikiuza mafuta ya Dizeli.lakini foleni kubwa kama ya magali na pikipiki ilikuwa ilisubili huduma ya petroli hapo jana bila kuelewa kuwa petroli wanayo hitaji haikuwepo.
 Hiyo ni foleni iliyoanzia jengo la Chuo kikuu cha SAUT mjini Songe ikielekea kwenye Filling Station ya Kisuma pai ili wapate walau lita moja ya petroli hapo jana.
Shida ya huduma ya mafuta ya petroli na Dizeli katika Manipaa ya Songea,imefanya wenye pikipiki walanguliwe lita moja kwa sh.3,000/= hadi sh.7,000./= ni kituo kimoja tu ndiyo kilikuwa kikiuza Dizeli.

No comments:

Post a Comment