Thursday, October 28, 2010

IKIWA ZIMEBAKI SIKU MBILI WATAZANIA WAINGIE KWENYE UCHAGUZI MKUU KIKWETE AJA NA CCM NI CHAMA KUBWA KUBWA LA MBEGU NDICHO KIME ZAA CHADEMA,NCCR,CUF,TLP NA VYAMA VYOTE VYA UPINZANI NI NINI KAMA CCM

 Zikiwa zimebakia siku mbili kuelekea  kwenye uchaguzi mkuu tarehe 31 /10/2010,mgombea Urais kupitia CCM Dkt Jakaya kikwete aseama CCM ni Chama Kubwa tena dume la mbegu iliyozaa,akina CHADEMA,NCCR,TLP CUF navingine ambavyo havijulikani sawasawa.( Source Christian Sikapundwa)
 Dar es salaam awambia tatizo la maji litakuwa ndoto kwao wakazi wa jiji hilo,kama Ilani ya CCM inavyoeleza.
Mikoa ya Lindi waambiwa kuwa ruzuku ya dawa za korosho itaongezwa,na kuimarisha soko la uhakika lenye tija kwa mkulima wa zao hilo.

No comments:

Post a Comment