Saturday, October 9, 2010

KUWAFANYA WATU WAWE WATULIVU NA USIKIVU WABURUDISHE

Koda ni ngoma kutoka wilaya ya Mbinga mkoa wa Ruvuma ni moja ya ngoma zinazo chezwa katika mikoa ya kusini mwa Tanzania.hiki ni kikundi kilicho tumbuiza watu siku ya uzinduzi wa jengo la Chama Cha walimu (CWT) Songea siku ya mwalimu duniani iliyofanyika Kitaifa mkoani humo.

No comments:

Post a Comment