Friday, October 15, 2010

ANAYEBEZA RUZUKU YA PEMBEJEO ZA KILIMO,NINANI?,WAULIZE WAKULIMA WA MAHINDI RUVUMA AU ANGALIA MAHINDI YALIVYO LUNDIKANA KATIKA GHALA LA CHAKULA RUHUWIKO YAKISUBILIWA KUNUNULIWA.

 Haya ni mahindi ambayo bado hayajanunuliwa yako nje ya ghala la chakula la taifa Ruhuiko,na muda wa mvua uko jirani,je Serikali inawafikiria vipi wakulima wamkoa wa RUVUMA?
 Hayo ni mahindi yaliyo nunuliwa lakini yapo nje ya ghala kwa kukosa nafasi,kwenye maghala ya kuhifadhia chakula,yakiendelea kulundikana hapo na mengine mengi bado kununuliwa unafikiri kitatokea nini?.Na hapo chini ni foleni ya maliri yakisubiri kupakuliwa ili mahindi yao yauzwe,maana hata nafafi ya kuyaweka mahindi usiyonunuliwa haipo.Kuna haja ya kubishana na wanaosema Ruzuku ya pembejeo haifanyi kazi.kama una macho tazama usingije kuhadithiwa.

No comments:

Post a Comment