Saturday, October 9, 2010

NDONDO SI CHULULU, KIMATA MATARAWE SONGEA

Mwalimu Antonia Raphael kainga mwenye kofia anayeonyesha .anaelezea jinsi ya kutengeneza sabuni,kwa Rais Jakaya Kikwete mwenye suti ya bluu na kofia alipotembelea banda hilo siku ya walimu Duniani kitaifa Ruvuma katika uwanja wa majimaji Songea  hivikaribuni.

Kikundi cha KIMATA cha akina mama walimu cha uzalishaji mali kilianza na mtaji wa shilingi 120,000 2007 kutengeneza sabuni za kufulia za mche ambazo ni .Lovela.Net work na mkaa.Antonia Raphael kapinga ni mweka hazina wa kikundi hichi anaye elezea kwa wagenie waliyo tembelea banda hilo kwa Rais Jakaya Kikwete .Mradi huo sasa unafaida ya shilingil 4,000,000 .fedha ambazo zinawasidia watoto yatima na wenye mahitaji maalumu kuwasomesha.

No comments:

Post a Comment