Monday, October 11, 2010

USIJALI OFISI, JALI ENEO LA KUTOLEA HABARI ZA TUJIFUNZE KUSNI

Mambo haya bwana we acha tu Habari ni habari haijalishi zinatoka vijijini au mijini peke yake.

HABARI ni habari ila zimetofautiana pale wanazuoni walipo sema kuna habari zinaitwa Hard news na nyingine Story .hata kama  ziwe hard news au story zinatoka kwenye sources. Hata hivyo vijijini ndiko waliko wadau wengi wanaotakiwa kutoa habari na kupata habari,lakini idadi kubwa ya hawa hainufaiki na vyombo vya habari labda kwa sababu ya ugumu wa kuwafikia waliko au magazeti yakipelekwa hayanunuliwi,luninga na radio ni ngumu kwao ndio usiseme.

Kwa upande wa luninga wanaweza wakapata baadhi yao,tatizo ni nishati ya umeme kwao ni ndoto,radio hivyo hivyo maeneo mengine mawimbi ya baadhi ya radio hayafiki au hazisikiki vyema kama kwetu kusini hasa mwambao mwa ziwa nyasa wanasikia radio Malawi ama Mozambiki.Magazeti ndio usiseme kununua nakala moja ya shilingi 400/= ni hasara kubwa kwa baadhi ya kaya huku vijijini.

Lakini wote wanahitaji kuhabarishwa iwe kwa luninga,radio au magazeti.Na wanahaki ya kutoa haratizo sio za kuzisika za vibaka Dar. Wanaiba simu  wao siyo habari hiyo au bajaji umekanyaga bata hiyo siyo habari,habari kwo ni Juam kaiba mihogo,mpunga,bata wa kijiji kinacho fuata tatika kata yao.

Basi hilo ndilo kweli basi wenye vyombo wakipata habari za vijijini kama zimemfikia mhariri maezani kwake hata moja ionekane kwenye gazeti siyo lazima iwe front page hata ndani kwenye ukurasa wa  habari za mikoani,humbuka habari ni habari.
 Hii ni ofisi ya TUJIFUNZE KUSINI ( ruralpresssongea.blogspot.com ) join with as please Hapo chini ni shule ya sekondari Mkuzo katika Manispaa ya Songea iliyojengwa na Dt.Emanuel Nchimbi anaegombea Jimbo la Songea Mjini.ni ya kidato cha tano na sita (Picha na Christian Sikapundwa )

No comments:

Post a Comment