Thursday, October 21, 2010

MBIO ZA ELIMU YA SEKONDARI KWA KIDATO CHA KWANZA ZINAISHIA KIDATO CHA NNE UKIKIMBIA VIZURI UTASHINDA NA VIBAYA UTASHINDWA BWANA EMANUEL C.SIKAPUNDWA NI MIONGONI MWA WALIOANZA MBIO HIZO.

 Emanuel C.Sikapundwa  mwenye miwani ni mwanafunzi wa Msamala  Muslim Seminari Songea amehitimu elimu ya sekondari kidato cha nne (IV ) mwaka huu,baada ya kutunukiwa cheti cha kumaliza elimu hiyo,Dada na ndugu zake walimkabidhi zawadi mbalimbali kama ishara ya upendo na hungera kwa huhimili mikikimikiki ndini ya maisha ya shule kwa miaka yote akiwa shuleni.
Lakini kabla ya sherehe hizo kuanza huko shuleni kwao,Nyumbani  kwa Emanuel Ndani ya uwanja wa Sabasaba Matarawe Manispaa ya Songea wameonekana akina mama wakiamwandalia chakula yeye na wapambe wake,ndugu na jirani,Sherehe ni kula (.Source Christian Sikapundwa )  
Akina mama hao walianadaa wali mweupe na mwingine Pilau,unajua wasahili husema mchele ni mmoja lakini mapishi mbalimbali.watu wa pwani wana ujua zaidi mchele na aina mbalimbali za mapishi yake,mimi si mwanataaluma wa mapishi hayo.Na kwenye miti hakuna wajenzi,inamaana kule wanako ulima mpunga inawezekana  hakuna  mbwembwe nyingi za kuupika mchele huo.Je wewe wasemaje ? fuatilia ...............

No comments:

Post a Comment