Saturday, October 9, 2010

BURUDANI NI MUHIMU KWA MAISHA YA KULA MMOJA ANAYEISHI






Mungu kampa kila mtu kipaji chake,lakini kunavipaji vingine ni adimu sana ni wachache tu ambao wamejeliwa kuwa nacho,jaribu kufuatilia wenye vipaji mbalimbali utaktua wametofautiana.
Watoto hawa watatu ni wasanii wa muziki wa kizazi
kipya hivyo kinachotakiwa kuwaendeleza au wao wakiendeleze kipaji hicho.mwenye vipaza sauti viwili ndiye,anayeongoza wenzake ni Alfa Jofrey wa kidato cha kwanza mateka sekondari Manispaa ya Songea wenzake wanasubili majibu ya Darasa la saba.walitumbiza wananchi siku ya uzinduzi wa kampeni ya Ubunge,udiwani na Viti maalumu katika viwanja vya shule ya msingi Majengo Songea Mjini.


WATANZANIA HATUKO NYUMA KWA NGOMA ZA ASILI ,FURAHI NA KIODA TOKA MBINGA


Kikundi hicho ni cha ngoma ya kioda kutoka  wilaya ya Mbinga mkoa wa Ruvuma  ngoma hiyo inachezwa kwa ustadi mkubwa .ilichezwa siku ya Mwalimu Duniani iliyofanyika kitaifa  Mkoani Ruvuma.

No comments:

Post a Comment