Sunday, November 27, 2011

WAKULIMA WA SONGEA MAHINDI YAWADODEA BAADA YA SERIKALI KUSHINDWA KUYANUNUA MAHINDI HAYO SASA WANAPELEKA SODECO KUYAUZA REJEREJA

 Wakinamama hao wanabaki hawajui nini kinachoendelea,baada ya kuambiwa serikali haina fedha za kununlia mahindi yao kwenye ghala la taifa la kuhifadhi chakula la Mkoa wa Ruvuma.
Licha ya akina mama hao kutojua nini cha kufanya ni pamoja na wakulima na wafanya biashara waliyopeleka  mahindi yao ghala la kuhifadhi chakula Songea kuamua kuyapeleka SODECO kuyauza kwa bei ya hasara.

No comments:

Post a Comment