Sunday, November 27, 2011

JIONI MOJA TUKIWA UFUKWE WA MJI WA LINDI

 Tukiwa hotel ya Lindi mjini ufukweni tukichagua korosho na Bwana Juma Nyumayo Mhariri msaidizi TUJIFUNZE
 Nikiwa kwenye Bandari ya zamani ya Lindi , ambapo zamani meli za MV Lindi  na MS Mtwara zilikuwa zikitia nanga, siku hizi hazipo meli hizo.kilicho bakia mchanga umejaa meli haziwezi kusimama hapo tena kutokana na kina cha maji.kuwa kidogo.Hizo ni meli za Zanzibar ambazo mafundi wake wanazitengeneza warudi nazo kwao.Miundombinu ya barabara miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Lindi Na Mtwara  ni safi

Lami hiyo toka Masasi,Mtwara,Lindi hadi Dar es salaam .ni ndani ya miaka 50 ya Uhuru mikoa ya Kusini.


 Bwana Juma Nyumayo katika ufukwe wa Lindi Mjini akipunga upepo baada ya kazi kubwa tokea Kilwa Masoko na Kilwa Kivinje.
Jioni katika ufukwe huo watu wanakimbia,wanaogelea na wengine kuendesha baiskeli kama unavyo muona kijana huyo.
 Katika ufukwe wa Lindi baada ya kutoka Kilwa Masoko na Kivinje ,ambako wananchi wa Kilwa wanaishukuru serikali kwa kuwapatia Umeme wa uhakika  wa Gesi kutoka Songosongo.
Bw,nyumayoJioni ya mapumziko katika ufukwe wa Lindi.

No comments:

Post a Comment