Saturday, November 12, 2011

MADAWA YA KULEVYA YAHARIBU MAISHA YA VIJANA WENGI KAMA UWAONAVYO VIJANA WA KILWA KIVINJE

mhariri msaidizi wa TUJIFUNZE  KUSINI Bwana Juma Nyumayo  aliyesimama katikati anasuluali nyeusi alikuwa akiongea na vijana wanaotumia madawa ya kulevya Kilwa Kivinje,hao wao hupaita masikani,husemekana kuwa vijana hao hawaogopi serikali wala mtu yeyote.ukiwaushi wanakuchanja na nyembe.
Bw.Nyumayo anaangalia picha ya meli iliyochorwa kwenye kitambaa na vijana hao ambao hujiita wasela,washikaji wa Kilwa Kivinje Mkoa wa Lindi ambapo Blog hii ilikuwa huko kuona maendeleo ya wananchi wa mikoa ya Mtwarana Lindi katika miaka 50 ya UHURU wa Tanzania.ambapo mafaniko yapo,na changamoto zipo nyingi zikiwepo za ukosefu wa ajira kwa vijana hao ambao ni idadi kubwa nchini,kwa kukosa cha kufanya ndipo wanatumia madawa hayo.

No comments:

Post a Comment