Friday, November 11, 2011

PAMOJA NA MAENDELEO YALIYO PATIKANA KATIKA MKOA WA MTWARA BADO WANANCHI WA MKOA HUO WANA SHIDA YA MAJI

 Akina mama na watoto wanatoka majumbani kwao saa 11 usiku kutafuata maji lakini hadi saa 10 jioni hawajapata maji hayo ambayo katika wilaya ya Masasi mkoani mtwara plastiki moja la maji ya baridi au chumvi ni sh.100.
 Na watembeza maji plastiki moja ni sh.1000 kwa maji baridi na sh.500  maji chumvi
Hiyo ni foleni ya maji ambapo akinamama wameweka ndoo zao kuanzia saa 10 lakini hadi blog hii inatia nanga Masasi saa 11 jioni bado walikuwa hawajapata maji.

No comments:

Post a Comment