Friday, November 25, 2011

MKUU MKOA WA RUVUMA BWANA SAID MWAMBUNGUU AKERWA NA UNYANYASWAJI WA KIJINSIA UNAOFANYIKA DUNIANI

 Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Bwana Thabiti Mwambungu akiongea na wananchi leo kabla hajamkabidhi DC wa Namtumbo Bwana Saveri Maketa ugeni Rasmi..
 Wananchi wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea wakimsikiliza Mkuu wa Mkaoa.
 Baadhi ya viongozi wa Sekreterieti ya Mkoa wa Ruvuma
 Bwana Mwambungu
Wananchi katika majengo ya makumbusho ya Majimaji leo.

No comments:

Post a Comment