Wednesday, November 2, 2011

NGOMA ZETU LEO NAWALETEA NGOMA YA KUSINI LIZOMBE AMA KWA JINA LINGINE KITOTO


 kikundi cha Lizombe cha Jakaya Mrisho Kikwete cha Lizaboni Manispaa ya Songea kilicho tumbuiza siku ya wiki la elimu ya watu wazima kiwilaya limefanyika Kata ya Majengo

 Bwana Rabii Mzee mwanakisomo wa Majengo akisoma risala siku ya juma la elimu ya watu wa zima Manispaa ya Songea hivi karibuni
 Waandishi wa habari akisikiliza kwa makini ujumbe unaosomwa na Bwana Rabii Mzee kutoka kwenye risala hiyo.
Baadhi ya walimu waliofika kuhudhuria wiki hilo wakiwa kama watazamaji wasiojua nini kinaendelea kuhusu elimu ya watu wazima.

No comments:

Post a Comment