Wednesday, November 2, 2011

ELIMU YA WATU WAZIMA KATIKA MIAKA 50 YA UHURU WA TANZANIA

 Mzee Evans  Leonard Kalonga Afisa eilimu ya Watu Wazima Mkoa mstaafu aliyetumikia taifa hili katika wadhifa huo hadi kustaafu anasema elimu ya watu wazima ilichangia kwa kiasi kikubwa kufuta ujinga kwa jamii ya watanzania baada ya uhuru.Mzee kalonga aliwahi kuwa Afisa elimu ya watu wazima Mkoa wa Rukwa na baadaye Mkoa wa Ruvuma hadi kustaafu kwake.

 Bwana Thomas Lipuka Komba yeye amestaafu akiwa Afisa Elimu Vielelezo Wilaya za Lindi na baadaye Songea vjijini yeye alikuwa Afisa Habari katika Idara ya elimu akiwa Ripota wa magazeti ya TUJIFUZNE KUSINI hadi anastaafu.
 Maafisa hao ni hazina tosha ya elimu ya watu wazima ilivyo anza kushamili hadi kupoteza umaarufu wake.
Hapa wakiaandaa MAKALA ya elimu hiyo kwa ajili ya Toleo Maalumu la TUJIFUNZE KUSINI ndani ya miaka 50 ya uhuru wa nchi hii.

No comments:

Post a Comment