Friday, November 11, 2011

SAFARI YA MIKOA YA MTWARA NA LINDI KUONA MAENDELEO YALIOFANYIKA MIAKA 50 YA UHURU KUSINI MWA TANZANIA

i
Siku ya kwanza ya kukata tiketi ya kwenda Mtwara na Lindi katika stendi ya Songea
 Bwana Juma Nyumayo Mhariri msaidizi wa TUJIFUNZE KUSINI mwenye suluali ya bluu tulikuwa nae kukata tiketi kwenye basi litokalo Songea kwenda Masasi Mkoa wa Mtwara liitwalo New Obama.
 Ndani ya Basi hilo nilikaa jirani na Mzee Mohamedi Gwasa Afisa Elimu mtaafu ,alimpokea Bwana Nyumayo walipokuwa akiripoti akiwa mwalimu katika wilaya ya Tunduru mika ya nyuma.
 Mwl Mohamedi alistaafu kazi miaka ya themanini,huyo mwenye balaghashia alikuwa akienda masasi
Mwl.Mohamedi walipiga picha ya pamoja na kijana wake Bw. Nyumayo ya ukumbusho baada ya kuwasili Mtwara.

No comments:

Post a Comment