Thursday, December 9, 2010

UHURU MIAKA 49,TUDUMISHE UZALENDO...WATOTO 700 WA HALAIKI,200 KUTOKA VISIWAVI NA 500 TANZANIA BARA WABURUDISHA WANANCHI

 Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Kikwete akipokea heshima kutoka kwenye gwaride la vikosi vya majeshi ya Ulinzi,Polisi ,magereza na JKT katika uwanja wa Taifa siku ya maazimisho ya miaka 49 ya Uhuru jijini Dar es salaam.
 Rais Jakaya Kikwete akipungia wananchi katika uwanja wa Taifa leo siku ya kuazimisha miaka 49 ya Uhuru
Baadhi ya watoto 700 wa halaiki wakionyesha michezo ya sarakasi siku ya maazimisho ya miaka 49 ya uhuru.( MOTO: MIAKA 49 YA UHURU.TUDUMISHE UZALENDO.Jijini Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment