Saturday, December 18, 2010

JUMAMOSI YA LEO NAKULETEA MUENDELEZO WA MAKAO MAKUU DODOMA,NIKIANZAIA NA ROUND ABOUT TAMISEMI STAND YA DALADALA NA MAENEO MUHIMU KATIKA MANISPAA YA DODOMA

 Round about ( TAMISEMI) katika Manispaa ya Dodoma
 Stand ya daladala Jamatin ziendazo na zitokazo Mnadani ,Kuhungu,maili mbili
 Jengo la NMB Dodoma pamoja na Chuo Kikuu cha Dodoma (UDO),mtaa ambao ni maarufu sana uendao katika makao makuu ya CCM Mjini hapa.
Nyerere Square ambapo watu hupenda kupigia picha kwa ajili ya kumbukumbu kama alivyo mwanachuo wa CBE Bwana Joseph Sikapundwa katika bustani hiyo hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment