Thursday, December 16, 2010

Je unaijua Nyerere Square ,Manispaa ya Dodoma? Au Makao Makuu .

 Nyerere square ni bustani iliyopo katika Manispaa ya Dodoma,imejengwa hapo kwa ajili ya kumbukumbu ya Baba  wa  taifa Mwalimu Julius Kambalage Nyerere katika makao Makuu ya Nchi.
 Eneo hili watu hufika kupiga picha za kumbukumbu mbalimbali .
Pia kuna miti ya kivuli watu hupumzika na kujipatia vivywaji baridi,siku za kazi lakini siku za Juma mosi na Jumapili mgahawa huo haufanyi kazi,kumbe siku kama hizo ndiyo za kutangeneza fedha.Lakini usijali hayo karibu katika eneo hili la ukumbusho.

No comments:

Post a Comment