Monday, December 6, 2010

FURAHA YA WAZAZI NI KIJANA WAO KUPATA FAMILIA YAKE,MAMA WA MICAHEIL SIKAPUNDWA WAKIWA NA MJUKUU WAKE VERONICA

Mtoto Vero anapenda kurushwa rushwa,aona anavyo furahia kurushwa na Bibi yake Bibi Editha Sikapundwa mara baada ya kukaribishwa nyumbani kwao baada ya kutoka Dodoma, ambako alizaliwa tarehe 12/10/2010 katika Hospitali ya Mkoa huo,wakiwa kama wazazi wa Mikael na mkewe wanaungana nao katika kumshukuru Mungu katika kufanikisha maisha yao na hatimaye kupata mtoto.Walisema asante Mungu kwa yote mema yaliyopatikana.

No comments:

Post a Comment