Monday, December 6, 2010

kipindupindu chaua wanne,watatu wa familia moja Manispaa ya Morogoro

Ugongwa wa kipindupindu sasa cha hamia manispaa ya Morogoro baada ya kuibuka katika Wilaya ya Mvomero,imeripotiwa kuwa  wagonjwa 10 wamelazwa katika hospitali ya Mkoa wa Morogoro,na  watu wanne wamefariki,kati yao watatu kutoka katika familia moja.

No comments:

Post a Comment