Sunday, December 26, 2010

JUMAPILI YA FAMILIA TAKATIFU ILIKUWA KAMA HIVI LEO KETU

 Mr & Mrs Christian Sikapundwa baada ya kutoka kwenye ibada ya Christmas nyumbani kwao Dodoma
 Familia ya Sikapundwa wakiwa nyumbani kwao wakipata chakula ikiwa ni ukamilishaji wa sikukuu ya Christmas
 Kaka yake Mkubwa Bw.Sikapundwa Mzee Ally wa Kimamba Kilosa wakiwa katika kusheherekea Christmas.
 waumini wa Kanisa la makole Manispaa ya Dodoma wakiangalia pango alipozaliwa Yesu Kristu katika zizi la wanyama.
Familia ya Sikapundwa baada ya chakula cha Christmas nyumbani kwao Uhindini,karibu na Makole Mjini Dodoma.

No comments:

Post a Comment