Thursday, December 23, 2010

MHESHIMIWA DIWANI MFAMAJI KUPITIA CHADEMA KATA YA MISUFINI AMEPATA SINTAFAHAMU PALE OFISI YAKE ILIPO CHOMWA MOTO NA WATU WASIOJULIKANA

Diwani wa kata ya Misufini katika Manispaa ya Songea Bw. Mfamaji amejikuta katika hali ya sintafahamu  pale alipo kuta ofisi yake ikiteketea kwa moto,pamoja na nyaraka zake muhimu za kufasnyia kazi.

kwa mujibu wa watu walioshuhudia ofisi hiyo ikiteketea kwa moto na kujaribu kuisalimisha na kushindikana,walisema chanzo cha moto huo bado hakijajulikana,bali watu wasiojulikana ndio waliosababisha moto huo.labda kwa chuki zao zilizo wafanya kutimiza tendo hiho la fedhea,katika jamii yenye watu wenye akili wanaokubali ushindani ni kitugani.

No comments:

Post a Comment