Monday, December 6, 2010

SHUKURANI KWA MUNGU

Familia ya Bwana na Bibi Michael Sikapundwa wanamshukuru Mungu kwa ajili ya Mtoto wao mpendwa Baby Veronica Michael leo kutimiza mwezi mmoja na siku 26 tangu azaliwe tarehe 12/10/2010 katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma,ambapo sasa wapo nyumbani kwao Morogoro.

No comments:

Post a Comment