Sunday, December 26, 2010

HERI YA CHRISTMAS NA MWAKA MPYA KWA WATU WOTE ,PAMOJA NA FAMILIA TAKATIFU LEO

 Hilo pango ni kiwakilishi cha eneo la zizi la wanyama ambapo Yesu Kristu alizaliwa mahali duni,ili kutimaza ahadi ya kumkomboa mwanadamu
 Baaada ya ibada ya mkesha wa Christma,waumini wakionekana wakitoka katika ibada ya kwanza katika kanisa la Parokia ya Makole katika manispaa ya Dodoma.
Hiyo ni kwaya ya ibada ya asubuhi iliyo imba katika misa  hiyo Christmas katika kanisa la Parokia ya Makole Mjini Dodoma.

No comments:

Post a Comment