Tuesday, December 21, 2010

POLISI WATEMBEZA MKONG'OTO NA MABOMU YA MACHOZI WA WASOMI WA CHUO KIKUU CHA DODOMA ( UNIVERSITY OF DODOMA ) UDOM KWA MADAI YA FEDHA ZA FIELD

 hayo ni baadhi ya majengo yaliyojengwa ya Chuo Kikuu cha Dodoma kulingana vitivo mbalimbali
 Uzuri wa majengo pekee haumtoshelezi mwanafunzi kufanya vyema katika masomo yake ya miaka mitatu au mnne na zaidi iwapo hatapatiwa mahitaji muhimu ya kufanikisha maendeleo ya masomo yake ikiwepo,research,pamoja na field  mbalimbali .Iwapo  hatapata mahitaji hayo wakati akiwa katika  harakati za kutafuta  shahada yake ndipo uzalendo unaondolewa na migomo inatawala ndani ya vyuo vyetu
Majengo ya Kitivo cha Social Science ambapo wanafunzi wa kitivo hicho jana walipata mkong'oto na kumwagiwa mabomu ya machozi,baada ya kugoma,wakiwa na madai ya fedha za Field zao,baadhi yao wamejeruhiwa na kulazwa hospitali ya Mkoa,hata hivyo wanadai kupeleka malalamiko yao kwa Waziri Mkuu.

No comments:

Post a Comment