Monday, May 25, 2015

BAJETI YA WIZARA YA MAENDELEO JINSIA NA WATOTO YALETA ZOGO NDANI YA BUNGE,BAADA YA MHE.ESTER MATIKO KUTAKA KUJUA KWA NINI INGO KUFUTWA.

Akilalamikia WAMA ni ya Chama Tawala.
Waziri wa Wizra hiyo Mhe,Sophia Simba alijitahidi kuelezea kuhusu INGO na WAMA,Lakini ikawa nidhamu hakuna, sauti zinasikika kutoka kwa baadhi ya wabunge, Kaachini au simama,sasa hawaheshimu kiti cha mwenyekiti.Hebu wafika mahali wajue kuwa Bunge lile si mahala pa malumbano ya utofauti wa Vyama.Wasubili kwenye Kampeni,Ni aibu watu wengine wanavyo liona Bunge letu.

No comments:

Post a Comment