Tuesday, May 19, 2015

CERAGEM NI MOJA WAPO YA TIBA MBADALA { NI MAZOEZI TIBA } DODOMA WANAPATIKANA UHINDINI NA IRINGA ROAD}



Sumay Renatus  Meneja na Lilian Mushi Mwalimu akifaniwa Finger press
 Baada ya mazoezi wanapanda kwenye mashine Tiba kwa dakika 40
Wanafanya mazoezi ya kuondoa ganzi mgongoni hadi kiunoni



Mazoezi ya viungo vya mwili hufanyika kabla ya kupanda kwenye mashine

Mashine ya aina ya V3


Nini maana ya CERAGEM, CERAGE ni Kampuni ya Kisayansi  na ya kibiashara ya Kimataifa,inayo husika usambazaji wa vifaa vya  mazoezi tiba.

Hayo yamesemwa na Bi.Sumay  Renatus Meneja na Bi .Lilian Mushi Mwalimu wa Kituo cha Uhindini Dodoma Manispaa. Na kwamba CERAGEM Ilianzishwa wmaka 1998,baada ya kufanyiwa utafiti wa miaka 6 { sita } nakundua kuwa madini ya JADE ambayo hutoa Farinfared Radiation yakisambaa mwilini mwa mgonjwa kupitia Uti wa mgongo,mgonjwa huyo atapata tiba kutokana na ugojwa uliyokuwa ukimsumbua.

Mashine za CERAGEM huweza kuleta matokeo haraka  kukiwepo na umeme ambao hufanya mashine hizo kufanya kazi  “ Automatocally na pia hutoa Moxibution Thermoterapy”..Na hivyo ni kama njia moja wapo ya tiba mbadala.

Aidha hutumiwa na wagonjwa kwa kupata tiba kupitia mshine za Ceragem ,pia na kwa wazima ili kuweka miili yao kuwa imara na yenye afya,kwa mazoezi na kutumia mashine za CERAGEM.pia na kujikinga na maradhi.

Maneja na Mwalimu wa CERAGEM kITUO cha Uhindini Manispaa ya Dodoma Bi.Sumay Renatus ,Anaeleza kuwa,

CERAGEM ni Huduma ya vikanda Joto, Zoezi Tiba, ambayo kwa ujumla wake huitwa vikanda Joto kwa sababu hufanya kazi yake kwa kifaa kilichotengenezwa maalum kwa ajili ya kutumiwa kwa njia ya Uti wa mgongo, kilichotengenezwa kwa dini ya JADE.

Kituo hiki hutoa huduma bure ,pia na malipo kidogo kwa ajili ya kujiendesha katika upatikanaji wa umeme.Hivyo Bi Renetus afafanua kuwa kuna malipo Tshs. 40,000 kwa wiki ambapo akiongeza malipo ya kufikia Tshs. 290,000 atapata zawadi ya MINIPAD ambayo ataitumia nyumbani kwake.
Na Tshs.170,000 kwa mwezi  naye huyo iwapo ataongeza malipo kufikia Tshs.290,000 kabla ya mwezi kumalizika ,atapata zawadi ya MINIPAD
Amezitaja bidhaa za CERAGEM kuwa ni pamoja na
 Mashine ya Master V3  inapatika kwa bei ya Tsshs.6,200,000.
RLI   Tshs.4,600,000.
P390   Tshs.1,900,000.
MixPad    Tshs.520,000.
MiniPad    Tshs.290,000.
Healax,    Tshs. 590,000.
Slimbelt    Tshs. 760,000.

Makao makuu ya CERAGEM yapo Dar es Salaam Mtaa wa Lindi na Livingstone.
Pia wapo Tegeta,Mwenge,na Kigogo.
Dodoma wapo  Uhindini na Iringa Road
Mwanza,Mbeya na Arusha.

Wenye matatizo ya kiafya na wenye afya zao wanakaribishwa kwenye CERAGEM kwa huduma ya bure na kununua bidhaa za CERAGEM.

No comments:

Post a Comment