Monday, May 18, 2015

HALI YA HEWA LEO MAKAO MAKUU YA NCHI, DODOMA IMETULIA HAKUNA UPEPO,VUMBI WALA JUA KALI, JUA LINAWAKA KWA MBALI ,NA KIKUBWA ZAIDI MASHINE ZA KUANDIKISHIA DAFTARI LA WAPIGA KURA ZIMEGWANYWA KWA WATAKAO FANYA ZOEZI LA UANDIKISHAJI KATIKA MANISPAA YA DODOMA UTAKAO ANZA HIVI KARIBUNI

 Eneo la ofisi za Ujenzi na Stendi ya mabasi yaendayo Dar es Salaam katika Manispaa ya Dodoma,Barabara iendayo Bungeni ,Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ,ambapo vikao ya Bajeti vinaendelea.
 Hiyo ni baadhi ya mitaa katika Manispaa hiyo.

No comments:

Post a Comment