Thursday, May 21, 2015

DODOMA, WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BAJETI YAKE ZAIDI YA BILIONI 200 IMEPITA BILA KUPINGWA

Waziri wa KATIBA  na SHERIA Mheshimiwa Rose Migiro amewahimiza wananchi kusoma katiba,ili waielewe wakati wa kuipigia kura katiba hiyo.
Amesema kuwa katiba 2,400,000 zimichapishwa na kusambazwa, nakala 2,000,000 ni za  maandishi ya kawaida ,Nakala 200 na  maandishi ya nundu kwa ajili ya wale wasioona  na nyingine 200 ni kwa maansidhi makubwa kwa ajili ya wenye uono hafifu ,naka 1,443,000 zimepelkwa kwenye kata zote nchini.
Aidha mahakama imepata bajeti kubwa ikilinganishwa na bajeti ya miaka iliyopita,ambapo imetengewa 40 Bilion.

No comments:

Post a Comment