Wednesday, May 20, 2015

HIVI VIONGOZI KUSHINDWA KUHAMIA MAKAO MAKUU YA NCHI DODOMA NA KUWAFANYA WABAKI DAR ES SALAAM ,NI KWA SABABU

Dodoma hakuna bahari  au Uwanja wa ndege wa Kimataifa.Au kwa sababu Dodoma kuna vumbi jingi ikilinganishwa na Dar es Salaam ,Au Mchana jua usiku Baridi kali. Au vipi  kwa hiyo Dodoma ya leo siyo ile ya miaka miwili iliyo pita. Nahii ndiyo Dodoma yenye wenyeji wakarimu sana.

 Ni moja ya majengo mapya ambalo litakuwa ofisi mbalimbali lililop mkabala na Maktaba ya Mkoa wa Dodoma, na ofisi za Fire
 Nihayo  majengo mawili amabyo yapo katika hatua za mwisho wa kukamilisha ujenzi
 Katikati ya miti hiyo ni Maktaba ya Mkoa wa Dodoma mkabala na Hospitali ya Makole na Ofisi za Manispaa ya Dodoma
Kulia kwenye mtu aliyekaa na anyetembea ni SIDO HAPA Dodoma barabara kuelekea Tenesco Dodoma

No comments:

Post a Comment