Thursday, May 21, 2015

USAFIRI WA MAJINI ,UWEKEWE VIFAA VYA TAHADHARI,LEO NI SIKU YA KUMBUKUMBU YA KUTIMIZA MIAKA 19 YA MELI MV BUKOBA

Hapa ni eneo la Igoma Mwanza walipozikwa wahanga 391 waliokosa ndigu zao kutokana na ajali ya kupindika na kuzama kwa meli ya MV Bukoba Mei 1996.
Basi keo waombolezaji na wananchi wlioguswa na tukio hilo waliweka maua na kufanyia usafi katika makaburi hayo.Lakini pamoja na ajali hiyo bado usafiri katika Ziwa Victoria hali ni tete,sio salama sana.Zaidi ya watu mia nane walipoteza maisha.yao ,Mungu zilaze  roho za marehemu hao mahali pema peponi Amein.

No comments:

Post a Comment