Tuesday, May 19, 2015

MHESHIMIWA FESTUS LIMBU MBUGE NA MKURUGENZI WA CERAGEM UHINDINI NA IRINGA ROAD DODOMA,ATOA WITO KWA WANANCHI KULINDA AFYA ZAO KWA KUFANYA MAZOEZI NA KUACHA KUTUMIA VYAKULA VYENYE MAFUTA MENGI

 Mheshimiwa Festus Limbu  Mbunge na Mkurugenzi wa CERAGEM Dodoma  Mtaa wa Uhindini na Iringa Road
 Mhe. Limbu amevaa Slimbelt kupunguza mafuta kwenye tumbo
 WanaCeragem wakifanya mazoezi kabla ya kupanda kwenye Mashine
Baada ya mazoezi wanapata elimu ya CERAGEM  kutoka kwa walimu wa kituo hicho
Hiyo ni baadhi ya bidhaa za CERAGEM zinazopatikana katika kituo hicho.


Mhe. Limbu amechukua uamuzi wa kuanzisha CERAGEM kwa lengo la kuwajengea watu afya zao , kwa kutoa huduma hiyo bure kwa kila mmoja.Ila VIP kuna malipo kidogo kwa ajili ya uendeshaji wa kituo.
 Aidha alisema watu wajenge tabia ya kufanya mazoezi, kuacha au kupunguza vyakula vyenye mafuta mengi ili kufanya miili yao kuwa imara na yenye afya
Hivyo kupitia  matumizi ya Ceragem na bidhaa zake zitawasaidia watu wenye magonjwa na wasio wagonjwa
kwa hudhuria kila siku au kununua mashine kuwa nayo nyumbani.

No comments:

Post a Comment