Wednesday, January 11, 2012

MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA ZINASBABISHA USAFIRI WA MABASI YAENDEYO KILOSA NA KURUDI MOROGORO KUWA MGUMU KUPITIA MELELA,MKATA,KIMAMBA HADI KWA KUWA NA BARABARA YA VUMBI KWA MIAKA KADHAA SASA

a
 Basi hilo limeharibika katika maeno ya Mkara Ranch ,kutokana na mvua zilizonyesha mfululizo na kusababisha barabara kuwa na matope,na kwamba magari mengi yanakata spring.
 Hilo ni basi ambalo nalo limekata spring lilivyoingia kwenye mashimo maeneo ya Faruma si mabli sana kutoka Kimamba.wamiliki wa mabasi hayo wanashindwa kuelewa kwa nini serikali inashindwa kujenga barabara hiyo kwa kiwango cha lami?
Hiyo ndiyo barabara ya kutoka kilosa kupitia Kimamba,Mkata ,Melela hadi Morogoro,eneo hilo ndilo safi kidogo,isitoshe hata ukarabati haupo kwenye barabara hiyo,haijulikani ni kwa sababu haijatengewa fedha za Tan road za matengenezo,ama Halmashuri au Mkaoa wenye jibuni Waziri mwenye dhana lakini pia na Mbunge wao wa Kilosa,anaona na anapita kwenye barabara hiyo nadhani hata ifimbia macho barabara hiyo ilwe kwenye kiwango cha lami.

No comments:

Post a Comment