Friday, January 13, 2012

MADHARI YA MIJI YA DODOMA NA MOROGORO YANAVYO VUTIA WAGENI KATIKA UPANDAJI WA MAUA

 Kabla ya kuingia stand kuu ya mabasi katika Manispaa ya Dodoma utakutana na 'roundabout' hiyo ndipo utaingia katika Stand ya mabasi.
 Lakini ukiwa karibu na 'roundabout' hiyo mbele yako utaliona jengo la ukumbi wa Bunge linalo onekana mbele ya miti

Na hapo chini ni 'round about' mjini Morogoro baada ya kuipita 'roundabout' ya Stand kuu ya mabasi Msamvu.Ama kweli maua yanapendezesha mji kama yatatunzwa vyema.

No comments:

Post a Comment