Sunday, January 29, 2012

Mvua na zinazonyesha za sababisha ajali ya New Force Bus liendalo Mbeya kutoka Mbeya jana

i
 Eneo hilo la Nyololo kilometa chache kufika Makamabo Mkoani Iringa ni eneo baya hasa wakati wa mvua kuna utelezi sana.jana siku ya Jumamosi Basi  ' bus' New Force one lilokuwa likitokea Dar es Salaam lilipinduka,na kusababisha ajali.kwa kuwa Bus letu La Kampuni ya Sumry lilisimama mbali kidogo na Tukio ,ndiyo maana picha ya jirani haikupatikana.kama unavyoona juu kwenye malori ndipo kwenye ajali.
Lakini utaona clip hiyo niliyoipata  bus letu lilipo simama. kwa hiyo madereva wanapaswa kuwa waangalifi wakati wa 'overtaking lorries' wakati wa mvua na kwenye miteremko.

No comments:

Post a Comment