Monday, May 6, 2013

BREAKING NEWSSS POLISI MKOANI ARUSHA YA WASHILIA WA 8 WALIOSADIKIWA KULIPUA BUMO NDANI YA KANISA

POLISI Mkoani Arusha inawashikilia watu nane ( 8 ) wanalihusika natukio la kigaidi la kulipua bomu ndani ya kanisa siku ya Jumapili.
Katika tukio hilo watu wawili wamepoteza maisha yao ambapo wa 50 wapata majeraha katika sehemu zao mbalimbali za mwili.
Kutokana na hisia za watu zisizokuwa na tafiti za kisayansi,kuwa tukio hilo halina uhusiano na imani za kidini,bali nina uhusiano na ugaidi.

No comments:

Post a Comment