Monday, December 31, 2012

SENSA MWAKA 2012 TANZANIA ILITOA AJIRA KWA VIJANA ASEMA PINDA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Mizengo Pinda pia mwenyekiti wa Kamati kuu ya Sensa Taifa,alisema Sensa ya mwaka 2012 imetia ajira ya muda kwa vijana ambao walikuwa  makarani wale wasiyo na kazi.
Aidha Mhe.Pinda alisema katika zoezi la Sensa ya mwaka huu watu wanne ( 4 ) walipoteza maisha na wengine walipata majeraha mbalimbali..
Mhe.Pinda alisema hayo siku ya uzinduzi wa matokeo ya Sensa ya awali katika viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam leo.Ambapo Rais Kikwete alizindua matokeo hayo.

No comments:

Post a Comment