Friday, December 21, 2012

MATUMIZI YA MAJI YAWE SAFI NA SALAMA JE KWA WATUMIAJI WA MAJI HAYA UNAMAONI GANI?

 Je unasemaje kuhusu matumizi ya maji haya ni safi na salama ?, mito maji yake ni kama hivyo wengine wanaoga na kufua juu na nyie huku chini mnayachota kwa matumizi ya kunywa,je ni salama ?
Maji yanakawaida ya kusomba kila kitu,kwa hiyo watumiaji hao wanaoga mchanganyiko huo,na kuyanywa kawa mtindo huohuo.

No comments:

Post a Comment