Saturday, December 22, 2012

MIKOKO NA MIMEA IOTAYO PEMBENI MWA BAHARI NI FAHARI KWA VIUMBE VYA BAHARINI,HIVYO WAKAZI WA MWAMBAO MWA BAHARI AITUNZE KUHIFADHI MAZINGIRA YAKE

Mazingira mazuri yanayovutia ya mikoko katika Bahari ya Hindi, unapoingia mkoani Lindi, utakutana na mikoko hiyo ambayo ni masikani ya viumbe vyote viishivyo Baharini.
Wananchi waishio mwambao mwa bahari hiyo ni juu yao kuhifadhi mazingira ya kandokando mwa baharihiyo ili sura ya bahari iendelee kuvutia.

No comments:

Post a Comment