Thursday, July 19, 2012

TUJIFUNZE KUSINI INATOA POLE KWA FAMILIA ZILIZO POTELEWA NA JAMAA ZAO KATIKA AJALI YA MELI HUKO ZANZIBAR

TUJIFUNZE Kusini pamoja na timu nzima ya TUJIFUNZE  ikopamoja katika majonzi ya wananchi wa Tanzania Visiwani pamoja na wananchi wa Visiwani ambao ndugu zao wamepoteza maisha katika ajali nyingine ya meli.Tunatoa pole kwa familia zilizofikwa na msiba huo.
Katika matukio kama haya wananchi tuwe na subira na uvumilivu kwa kuwa yote yanayotokea ni matakwa ya Muweza wetu.Na mara nyingi kunapotokea matatizo watu lazima watu watatupiana lawama.Cha msingi nikumuomba Mungu atuepushie jali za mara kwa mara,hasa zinazotokana na uzembe.

No comments:

Post a Comment