Tuesday, July 17, 2012

MATUKIO MJI WA SONGEA

Watu wawili wanao sadikiwa kuwa ni wazazi wa mtoto anyekaa katika maeneo ya Matogoro Manispaa ya Songea wametuhumiwa kumnyonga mtoto wao ambeya alianza kukaa,kwa mijbu wa kikosi cha jeshi la polisi mkoani hapa wazazi hao wanashikiliwa na polisi.
Tukio lingine Kijana ( 25 ) mwendesha pikipiki almaarufu yeboyebo mjini hapa amekutwa amekufa katika nyumba moja maeneo ya Bombambili Manispaa ya songea ,baada ya kutoonenaka kwa tajiri yake kwa siku tatu.inasadikiwa kuuawa na watu wasiyojulikana hadi sasa.
Tukio lingine ni la lori lililobeba mahindi kutumbukia katika daraja la Matarawe barabara ya kuelekea Mji mwema Manispaa ya Songea,Chanzo cha ajali hiyo bado kueleweka vyema hadi tunaenda mitamboni,hiyo ndiyo habari.

No comments:

Post a Comment