Saturday, July 7, 2012

MIZENGO PINDA ATUA SONGEA KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU MBILI KUANZIA JANA HADI LEO

Ashuka kenye ndege jana katika uwanja wa ndege wa Songea ,Nakisha akasalimiana  na viongozi na kuvishwa Skafu na mwanafunzi Mercy Ngatunga wa Sekondari ya Matarawe.Baadaye akaelekea Ikuli kusomewa taarifa ya maendeleo ya Mkoa na Taarifa ya Chama Tawala ( CCM )



No comments:

Post a Comment