Saturday, September 27, 2014

VIPEPERUSHI VYA KUTISHIA WANANCHI NA WAJUMBE WA BUNGE MAALUMU VYA SAMBAZWA NA WATU WASIYO JULIKANA KATIKA MANISPAA YA DODOMA JANA VYEYE VICHWA VYA HABARI OFAUTI

Hapa ni eneo la Bohari Mkoa wa Dodoma ambapo kuna ulinzi mkali wa polisi kwa ajili ya kuzuia  maandamano kuelekea Viwanja wa Bunge kusababisha vurugu.

Baadhi ya vipeperushi hivyo kilicho patikana na Blog hii inasema." ONYO Dodoma si mahali pa kufuga wezi wa fedha za Umma.Utakayeingia Bungeni kuanzia kesho,yatakayo kupata utajuta" mwisho wa kunukuu. Hivyo  vilisambazwa jana.
Lakini ilikuwa ni kelele za mlango,wajumbe wa Bunge Maalumu waliendelea na shughuli zao kama kawaida na hakuna chochote kilicho tokea kifuatia vipeperushi hivyo.

No comments:

Post a Comment